Saturday, September 4, 2010

Urafiki, Mapenzi na Ndoa

 
Hivi maisha yangekuwa vipi kama kusingekuwepo na urafiki? Rafiki si mtu tunayecheka na kufurahia naye maisha tu bali pia tunayekuwa naye katika shida na raha! Marafiki hutusaidia kupata majibu ya maswali mbalimbali yanayotukabili. Katika ndoa, Urafiki ni msingi imara kwani Wanandoa wanatakiwa kuwa marafiki. Lakini, rafiki wa kweli ni nani? Anatakiwa kuwa na sifa gani? Mjue rafiki longolongo hapa.


MichapoMichapo
Stori za kweli za watu, zisome ujipatie uzoefu


ZaidiZaidi
Kuna mengi zaidi ya kufahamu kuhusiana na masuala haya...


Maswali na MajibuMaswali na Majibu
Hapa unaweza kupata majibu ya maswali yaliulizwayo kila mara kuhusu urafiki, mapenzi na ndoa

No comments:

Post a Comment