Saturday, September 4, 2010

Elimu, Kazi na Fedha

 
Ujuzi ni nguvu na Elimu ni ufunguo wa maisha. Watu huenda shule ili waweze kupata elimu na ujuzi kwa ajili ya ajira itakayowapatia fedha. Unahitaji kuwa na elimu nzuri ili kupata kazi nzuri. Kwa ajili ya mbinu za kuchagua shule nzuri, kujenga taaluma, kupata kazi nzuri, kuandika wasifu wako, kujiandaa kwa usaili kwa ajili ya kazi na utunzaji mzuri wa fedha zako, Elimika na kipengele hiki.


Plani taaluma yakoPlani taaluma yako
Umemaliza shule? Nini mipango yako ya baadaye? Amua na upangilie taaluma yako leo. Pata mbinu za kupanga taaluma hiyo hapa!


Kutafuta kazi Kutafuta kazi
Cheki mbinu zitakazo kuwezesha kuandika wasifu wako (CV), jinsi ya kuomba kazi na kujiandaa kwa usaili. Bofya hapa


Utunzaji wa fedhaUtunzaji wa fedha
Pata mbinu za utunzaji wa fedha na jinsi ya kufanya manunuzi yako kwa busara.


ZaidiZaidi
Pata habari zaidi kuhusu elimu, kazi na masuala ya fedha hapa!


Stori yanguStori yangu
Sikiliza habari za kweli kutoka kwa watu wakweli kuhusiana na kazi zao, matatizo na mafanikio. Uzoefu wao waweza kukujenga! Usipuuzie soma stori hizo hapa!

No comments:

Post a Comment